LEMUTUZ Afunguka Tena Kuhusu Dr Mwaka...Adai Anaamini Kuwa Dr Mwaka Hajavunja Sheria yoyote....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Lemutuz Ameandika haya Kwenye Ukurasa wake wa Instagram:

Ok niliahidi kusema ukweli kama ulivyo on this ishu bila longo longo na mpaka nione mwisho wake:- ......ni kwamba KWANZA Hospitali zote za Dr. Mwaka @dr.mwaka leo zilikuwa zimefunguliwa zinaendelea na kazi kama kawaida na PILI:- Alikwenda Wizarani kama alivyoamriwa na kinachosubiriwa ni majibu ya Wizara ili wote tujue ukweli upo wapi.....ingawa nilitegemea by now kwa tuhuma nilizozisikia jana akirushiwa Dr. Mwaka majibu yangekuwa rahisi sana kutolewa na Wizara lakini sina haraka nitaendelea kusubiri....ninasema hivi MNYONGE MNYONGENI .....wote tunapenda HAKI na UKWELI.....binafsi I have worked kumtangazia matangazo Dr. Mwaka nikiamini 100% in nilichokuwa namtangazia na in the process he became a Friend ni mtu mstaarabu sana na hata wake zake 2 ninawafahamu ni wastaarabu sana....mengi yametokea jana ambayo KISHERIA HAYAKO SAWA SANA lakini then tunaangalia wahusika kwa vile wengine tunawafahamu tunaishia kuyaacha hoping watakuwa wamejifunza kwamba FACTS sio mchezo na wala sio lelemama mtu anaweza akakurupuka na maneno mengi sana lakini in the end inakuja SHERIA na FACTS huwa wengi wanakwama...now ninasema nitaendelea kufuatilia mpaka mwisho wa hii ishu cause imetugusa wengi sana na ni kwa nia njema ninachotaka ni kuona HAKI INATENDEKA mimi sio mtu wa kukurupuka Hospitali ya Dr. Mwaka ni PRIVATE sio ya Serikali na besides ni Hospitali inayoongozwa na SHERIA za DAWA ZA ASILI kuna tofauti kubwa sana na Hospitali kama Muhimbili so guys kama nilivyoahidi ninaendelea kusubiri na nitasema ukweli kila siku mpaka tufikie kwenye THE TRUTH OF THIS MATTER! ...BADO NASISITIZA DR. MWAKA NI RAFIKI YANGU NA SIAMINI KWAMBA AMEVUNJA SHERIA YOYOTE ILE YA JAMHURI KWA KAZI ZAKE ZA KILA SIKU MPAKA NAIBU WAZIRI ATAKAPONIHAKIKISHIA TOFAUTI! - le Mutuz
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. unafunguka we kama nani ?fanya yako acha mamlaka zinazohusika zifanye kazi .matako wewe

    ReplyDelete
  2. safari hii atamtibu Le mutus apate mke.

    ReplyDelete
  3. kila mwenye pesa ni rafiki yako.huoni aibu babuuu.

    ReplyDelete
  4. DR MWAKA ni tabibu wa kweli kwenye tiba asilia

    ReplyDelete

Top Post Ad