AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Usafi huo ambao umeenda sambamba na kugawa zawadi mbali mbali kwa wagonjwa hospitalini hapo, ambazo ni sabuni na vifaa mbali mbali vya usafi juisi na biskuti umelenga kuunga mkono zoezi la kufanya usafi katika siku ya maadhimisho ya siku ya Uhuru.
Akizungumza hospitalini hapo Bi. Katimba alisema kuwa, wao kama vijana wameamua kuwa mfano kwa kuanza kutekeleza agizo hilo kwa kufanya usafi hospitalini hapo, Soko la Mwanga lililopo mjini Kigoma pamoja na kutembelea kituo cha watoto yatima ambapo wamefanya usafi kituoni hapo na kugawa zawadi mbalimbali kwa watoto ikiwemo vyakula.
Alisema lengo la kufanya usafi ni kuhakikisha magonjwa mbali mbali kama kipindupindu yanatokomezwa kwa kuweka maeneo yote kuwa safi. "Leo tumeamua kuanza na hili zoezi rasmi, lakini zoezi hili ni endelevu" Katimba alisema.
Aidha Mhe. Katimba alitoa wito kwa vijana wote tanzania nzima wajikite kuunga mkono jitihada zinazofanywa na serikali ya awamu ya tano katika kuboresha maisha ya watanzania. Mhe. Katimba ametoa agizo kwa vijana wote Tanzania nzima kuwa mstari wa mbele katika kufanya usafi siku ya tarehe 9 Dec 2015.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
MIMI NASHANGAA, KWANI HATA KIGOMA KUNA CCM? MIMI NILIFIKIRI NI ACT TUPU , KWELI KAZIMNAYO
ReplyDeletesiku zote walikuwa wapi kwa nini wasifanye usafi? usafi mpaka muagizwe na rais??? akili matakoni.
ReplyDelete