Nay wa Mitego Afunguka Jinsi Walivyoachana Kimapenzi na Mwigizaji Shamsa Ford......

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nay wa Mitego amezungumzia jinsi alivyoachana na aliyekuwa mpenzi wake Samsha Ford baada ya mwanadada huyo kudai hataki tena kutoka kimapenzi na mastaa.

Akizungumza na Bongo5 Jumatatu hii, rapa huyo alisema licha ya kuachana na mwanadada huyo bado ni mshkaji wake na wanapiga stori kama kawaida.

“Mimi binafsi sijui alikuwa anamaanisha nini lakini kitu ambacho naweza kusema mimi na Shamsa bado ni washkaji na hatuwezi kuja kuwa maadui hata siku moja licha ya kuachana,” alisema. “Hatuna ugomvi lakini pia sijui alikuwa na mahusiano na staa gani before? Labda ndiyo maana anaongea hivyo ila mimi tuliachana vizuri.”

Aliongeza, “Kuhusu mimi sijamtenda hata yeye hajanitenda ndiyo maana mpaka leo tunaendelea kuongea japo kuwa labda yeye ana kitu anacho moyoni hicho siwezi kujua ila mimi ninachojua nazungumza naye poa tu.”

Kabla ya kuachana wawili hao walichukua muda mrefu kuweka wazi mahusiano yao.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kichwa cha habari kinasema vingine na habari ukiisoma inasema vingine yaani ni utumbo mtupu waandishi uchwara kufuatilia maisha ya watu kuziandika habari hamuwezi

    ReplyDelete
  2. sidhani kama nay yupo vizuri mukichwa...

    ReplyDelete

Top Post Ad