AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli amesema kwa mara ya kwanza Serikali itakusanya takribani trilioni 1.3 kwa mwezi.
Pia amewahakikishia watanzania kuwa ahadi yake ya kutoa elimu bure kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne ni lazima itekelezwe.
Amempongeza Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania kwa kazi nzuri ya ukusanyaji wa kodi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hapa kazi tu aendelee na Mungu awe pamoja naye
ReplyDeleteInatia moyo hasa ukichukulia serikali yake bado changa sana hata zile wizara zake muhimu hazijawa na mawaziri bado. Watanzania watarajie makubwa kutoka kwa muheshimiwa Magufuli. Ila anahitaji kuungwa mkono na watanzania wote kwa moyo that kabisa kwani ni msimamizi mkuu wa naisha yao na anaonekana kuwajali sana anaowatumikia.
ReplyDeleteHuyu ndio mwanaume wa shoka
ReplyDeletemagufuli kaza mwendo uwe mfano kwa afrika nzima
ReplyDeleteNguvu ya soda tu hiyo
ReplyDeleteLete yako ya juisi
DeleteUnasema ni nguvu ya soda huku umelewa,hujitambui! Soda gani hiy??
Deletemjitu mengine imezoe kunyanyashwa basi hata wakiona vitu vizuri hawavijue. Basi lete yako gogo
DeleteBasi leta yako ya konyagi
ReplyDelete