AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Diamond ambaye ameachia ngoma mpya ‘Utanipenda’ wiki iliyopita ambayo imekuwa gumzo kwa watu wa kila rika, ana akiba ya hits na collabo za maana, ambazo kwa mujibu wa mpiga picha wake zinampa uhakika wa kuendelea kukaa kileleni kwa miaka mingine kumi ijayo.
mashine 5 zilizopo store zikingoja mda mwafaka kuachiwa Ninamwona @diamondplatnumz akiendela kuwa juu kwa mika 10 #hifadhi_post_hii
— andrew kisula (@kifesiofficial) December 14, 2015
Japo zipo collabo kubwa za kimataifa alizoisha fanya, ameamua kufunga mwaka kwa kuachia wimbo mwingine kabisa ambao hakuna aliyefahamu kama upo wala utafanya vizuri, hii inathibitisha silaha zilizosalia kwenye ‘benki’ yake ya nyimbo huenda yakawa ni mabomu makubwa zaidi.Collabo zinazosubiriwa kwa hamu ni pamoja na ile ya Diamond na Ne-yo, Diamond na P-Square, Diamond na Usher na zingine.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK