AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mr Bond ambaye alikuwa mchumba wa mwigizaji Wastara kwa muda wa miaka miwili na nusu amepiga stori na Soudy Brown na kusema kisa kilichofanya wakaachana.
Bond amesema kwa kinywa chake kuwa kwa bahati mbaya alimpa mimba mchepuko wake na alipojifungua kuna siku mchepuko huo ukampigia simu Wastara kuomba msaada wa matunzo hapo ndipo kizaa zaa kilipoanza na kisha kuachana miezi minne iliyopita
Bond amesema amejisikia wivu sana lakini yote ni mipanga ya mungu na kwa sasa yeye yupo single...pia amedai uamuzi wa Wastara kuolewa haraka haraka wa hasira kutokana na wao kuachana.....
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
bond hufai kuwa mume huna sifa ya kumuoa wastara funga zipu kwanza..
ReplyDeleteMuoe huyo uliye zaa naye
ReplyDeleteMuoe huyo uliye zaa naye
ReplyDelete