AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hebu tujiulize, unawezaje kufumbia macho Ufisadi wa Escrow zaidi ya bilioni 300, na wakati huo huo ukasema unatumbua jipu kwa ufisadi bilioni 59? Namaanisha bilioni 12 za makontena TRA na 47 za makontena bandarini. Na usimpeleke mtu hata mmoja mahakamani, na wakati huo huo ukamkabidhi uongozi, Wizara na Idara muhimu za Umma.
Kwa uelewa wangu hapa kuna double standard na maana halisi ya Kutumbua jipu inageuka kuwa uonevu na kuoneana haya.
Je, ni lini watuhumiwa hawa wa Escrow walifikishwa mahakamani kujibu tuhuma za Ufisadi wa Escrow na Mahakama ikawasafisha, na wakastahili Promotion hii?
Prof. Muhongo - Waziri Nishati na Madini
Maswi - Ag D. Commissioner TRA.
Chenge - Mbunge.
Tibaijuka - Mbunge.
Ngeleja - Mbunge.
Je, Escrow ni Ufisadi au Promotion?
" Injustice anywhere is a threat to justice everywhere" M.L. King Junior.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Tanzania ina wenyewe
ReplyDeleteacha siasa za majungu tafuta kazi ya kufanya kulikomboa taifa na si story mfano wakati unajiuliza escrow ungeenda kumuuliza diwani wako anamipango gani ya maendeleo
ReplyDeleteHivi watanzania wengine wana shida ya kufikiri? Chuki ya mtu na mtu aina nafasi kwa sasa. Sasa hivi ni kazi tuu. Majungu serikali ya a wa mu ya tano no.
ReplyDeletewote tunashangaa kwa nini fisadi aliyesumbuliwa sana ni lowassa na wengine ni mafisadi wapendwa na wasifiwa.??????
ReplyDeleteNa bado Makonda mkuu wa mkoa nyeti
ReplyDeleteHapa kazi tu ccm hiyo
Majizi Piga yote mittani Choma moto kama vibaka Kama ccm haiwaadhibu
ReplyDelete