AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ni kazi baada ya kazi. Joh Makini na G-Nako pamoja na Vanessa Mdee wameingia studio ya The Industry na producer Nahreel kwa ajili ya maandalizi ya kazi mpya.
Kupitia Instagram, Joh Makini ameandika: Cooking #GoodMusicFamily #theindustrystudio unajua vile inakuaa G.Nako, Vanessa, Chinbees and Ahpha #January 2016.”
The Industry imekuwa na chemistry nzuri na wasanii hao baada ya kutengeneza hits zao kadhaa.
Udaku Special Blog
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK