AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mh. Magufuli kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri uliyoifanya mpaka sasa, japo sijutii kura yangu niliyompa mamvi na wala sitakaa nijutie, tulikuwa tunataka mabadiliko na sasa ninayo furaha ya dhati kabisa kuyaona haya mabadiliko kupitia kwako
Pili Mh. Nilichofurahi zaidi ni kupunguza gharama kubwa za kuhudumia wizara na mawaziri wake 60 wa awamu iliyopita hakika wewe ni mzalendo, na samia pia najua aliupata uzalendo zaidi katika kipindi za kampeni kijiji kwa kijiji nilimshuhudia akimwaga chozi kwa shida za wananchi alizokumbana nazo huko vijijini hakuamini na alituahidi na wasanii wakiwepo(mashahidi) mtaipitia mikataba yote ya madini
Mh. Magu chukua hii kama New year special, ulivyowatimua wastaafu mawaziri kwenye nyumba za serikali wengine hawana pa kukaaa, hakya Mungu tena ninaapa, hawakuona umuhimu wa kujenga kwa maana walijua nyumba za serikali ni zao
so sad , kuna mmoja anakaa kwa shemeji yake, (kaka wa mke wake) amechoka vibaya, sasa mbaya zaidi kaja na kuku wake kila siku wanatifua bustani za majirani maana humo ndani hamna banda wanafugia nje inaleta usumbufu mno, na hataki kuondoka mpaka ahakikishe kwamba hata ukuu wa wilaya amekosa ndio atarudi mwanzaaaa
Ninachokuomba Mh. harakisha hizo teuzi usifanye kwa nukta nukta utaua watu na njaa, hawana pa kuishi, hawana kazi, ubunge wamekosa, january hii watoto adaa mheshimiwa ujue hawasomi shule za kata, soon watakosa chakula na mimi ninasema ikifika february kuku wake wakiendea kutifua bustani yangu nakula mmoja baada ya mmoja
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hatuhusu sisi
ReplyDeleteKwani walichoiba hakitoshi
Waende Msoga awasaidie
Hapa kazi
mtoa mada vipi! mada haina kichwa wala miguu kwa hiyo tatizo ni nini au kuku ndo unawatamani? we una nini? acha kufurahia shida za watu!.
ReplyDeleteKama hata ubunge alikosa alitaka serikali imfanyie nini, mwandishi mpambe tu hana hoja
ReplyDelete