Picha ya Mwanaharakati Joyce Kiria Yasababisha Utata Mtandaoni...Wengi Wamkosoa Kwa Kumwaga Radhi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Joyce Kiria
Jana Katika Mtandao wa Instagram Mwanaharakati wa Mambo ya Wanawake kupitia kipindi cha Wanawale Live Aliamua kubreak the Internet kwa kupost picha hiyo hapo juu ikiwa inaonyesha Sehemu kubwa ya paja....Mashabiki wake hawajachukulia kitendo hicho vizuri na kuanza kumshambulia kwa Comments....

Caption ya Picha Hiyo ilikuwa '2016 uzee nimeuacha Himo njia panda..no more charanga..am beautiful, hot and Sexy..Good Evening'

Nimekuwekea Baadhi ya Comments za mashabiki wake hapa;

hansdady 
Unapoelekea sasa si pazuri nakuomba angalia ulipotoka hiyo picha si ya superwoman ninayemfahamu mm

richardbendera
Don't let yourself to loose your value. Really your beauty and sex phenotype but keep your body in respect ways coz you have a family and young kid, how will you see when he grown up and became a man

marrymasawe123
Umevaa nguo ya heshima sana imekupendeza 59min

 kadaughter_daniel 
Unajishushia thamani yako loh unapoteza mashabiki Nahisi una tatizo sio bure

sophiammasy
yesurua ...nkiki lanye? ode.ode..odendao....m 12h

 prosperpascal.pp
Joyce that post umebugi Dada mapaja nje looooh afu uzeee huo

upndjohnsoo321
Yeye anaakili zake timamu!! Nafkiri alitaka kujua nini kitasemwa juu ya hili.. Tusiumie juu ya maisha ya mtu jamani hayatuhusuuuuuuuuu kiruuuu, tuangalie yetu jamani!! Binafsi naona yuko sawa tu sababu ni yeye!! Huwezi kuniambia eti nimfate yeye kwa kila kitu. yeye ni yeye aweza kufanya lolote juu ya maisha yake na nikwafaida yake haimuhusu mtu.. Ww angalia kinachokufaa ww ambacho hakikufai achana nacho kibooo!! Tumeumbwa tofauti nahata kimtazamo tuko tofauti yeye anafikiri nini siri yake hatujui, anapata nini hatujuiii siri yake @joycekiria kwako nitaiga ambacho naona kitanifaa ambacho naona hakitanisaidia nitakiacha lakini sikazi yangu kukukosoa 11h

sangaweofficial
Wakuwache Fanya unachojisikia.... Kwan hakuna ulipomtukana mtu.... 11h

 mamy_ben13
Hakuna kabisa hapana buana unaheshimika na watu wengi hapo umefika mbali usisahau kujistil buana

martin_de_boy Mhhhh mbn unanidatishaaaa sasaaa my wnguuuu 2h


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Sijaona chochite cha ajabu wabongo ndio. Walivyo

    ReplyDelete
  2. Dada mengine waachie wenyenayo kama nikwabahati mbaya. ila kama unauzoefu basi tutaona makubwa hadharani plz usfike huko JESUS LOVES YOU.

    ReplyDelete
  3. Mbona kapendeza
    Hashangai wanaume wazima kutia mikorogo Na wake zao
    Kila kukicha kutia dawa nywele
    Utu uzima haukimbiliki
    Shangaeni Na watu kuvaa nguo za kijeshi

    ReplyDelete

Top Post Ad