AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
‘’Nuh hanipendi Eddy Kenzo ndio ananipenda,ameniimbia wimbo nilikuwa sijui,naomba mjue kuwa ndiye mchumba wangu mpya,’’Alisema Shilole.
‘’Eddy Kenzo amenipenda tangu zamani lakini nilikuwa nikimpuuzia tu maskini ameonyesha upendo wake kwangu hadi kaimba wimbo kwa ajili yangu unajua sio kitu kidogo msanii mkubwa Afrika kuniimbia wimbo mimi amechukua tuzo ya BET mwaka huu,ananipenda na mimi nampenda sana,’’Alisema Shilole.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Nenda akupinde alafu akutose chezea uganda weye!
ReplyDeleteMmmh!just like that? Haya, movie mpya imeanza. Ni kujiandaa na packet ya popcorn na mug ya coke.
ReplyDeleteHiyo contract yenu itachukua muda gani maana hii generation yenu kkuhusu mahusiano imekuwa ni banduka mwingine aje akae haswa nyinyi mastaa wa plastiki
ReplyDeleteUtatembeza dunia nzima
ReplyDeleteKwetu Tanga tunasema
Zote zafanana
akapime ukimwi kwanza maana hata maharage ya mbea huchelewa kuiva.
ReplyDeleteshue muhimu sana jamani
ReplyDeleteAnapenda watoto huyo du hajion kama kakua
ReplyDeleteDah busy but nothing dem
ReplyDeletesafi sana.
ReplyDeleteSiyo kila anayekwambia I love u it's really love no fanya kz kijana
ReplyDeleteOffcourse, dada wewe ni mtu mzima na una haki ya kuchagua uanachokiona kinakufaa, ila kuwa macho na hao watu,naona bora kuwa na Mtanzania mwenzako tena wa kawaida mnaweza kuishi na kupanga maisha yenu mkiwa hapanyumbani, lakini hali ya kutangatanga inawza kupoteza muelekeo wako wa baadae. Kumbuka yaliomkuta marehemu AISHA MADINDA, tusiwe wepesi wa kusahau haya yanaweza kukuta mdada. WATCH OUT DEAR. ALUTA CONTINUA.
ReplyDeleteyaani ni kata mti panda mti!! mnaachana muda huo huo unamtambulisha mpenzi mwingine! Ina maana wakati uko na Nuh nahuyo ulikuwa unaendelea naye kisiri!!!
ReplyDelete