AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Idriss na Wema Sepetu |
Kama hukupata bahati ya kusikiliza tazama hapa sehemu ya mahojiano hayo walipokuwa studio za Clouds Fm.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
bado sijaelewa sasa mgumba ni mond au wema?
ReplyDeleteNdio maana wameitwa wasanii
ReplyDeleteSasa twataka kukua Una maendeleo gani miss sepetu unataka kutoa movie au kufungua duka tuje kukupa support achana Na mambo ya nakupenda kula saa Na idrisa tayari kishaeleweka piga kazi
ReplyDeletenina mashaka wanaume wengi sana hasa hawa wa siku hizi hawana kokwa za uzazi ni maji tu ndo yamewajaa pumbuni
ReplyDeleteWacha movie iendelee twangoja part 2. ILA kama Kuna sehemu umedanginyi, umesema hujawai kusafishwa, unakumbuka wewe wewe ulishawahi kuweka kwa media ulisafisha mimba ya kanumba, au umesahau. Anyway it doesn't matter cha msingi tunakuombeA kila la kheri uje kuwa mama bora.
ReplyDeleteMbona ulisema mimba Ina more than 4 months sasa tena imekuwa 11weeks vipi tena
ReplyDeleteMaelezo hayo ni so private. Wote wawili wana utoto mwingi.
ReplyDeleteWana mengi ya kujifunza even how to conduct themselves in public. Yaani Wema anavyoongea.. its so childish ...eti nitakuua wewe... baby baby. Inakerakera fulani hivi.
Anyway hongera kwa uja uzito and both of you please be discreet on some private info.
hao hawajielewi bado wakiulizwa kesho wataongea mengine, waacheni na mambo yako, hawajui hata umri wa mimba wala imeingia lini.. kama kweli ipo. ni usanii tu.
ReplyDeleteAnonymous jan 31 2016 11:32am
ReplyDeleteUmeongea la maana yaani both of them hawajielewi kama watoto vile hawajui hata kukipu mambo yao private yaani ka wema ndiyo kabisa anaongea kila kitu kama kajinga flani yaani kwanza mimba ni changa sana kuanzia kuiongelea pia inaonekana huyo ldrisa hakuwa tayari kama vile wema alimtegeshea hiyo mimba kwani amesema mwenyewe jinsi alivyofanya.Huyu binti anaongeaga mambo yake adharini.like no brain Kabisa.
mwenzio anajivunia kuwa kidume kuliko dai we unasema alimtegeshea!we nawe una yako moyoni kaa mchawi!
DeleteNo brain indeed. Hii ndio mimba itakayohitaji DNA huko mbele.
Delete