AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
UVCCM yataka Rais mstaafu afukuzwe CCM
UMOJA wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), umekitaka chama hicho kumvua uanachama Rais mstaafu wa Zanzibar Dk Amani Abeid Karume.
Kauli hiyo imetolewa katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Sadifa Juma Khamis wakati wa kilele cha matembezi ya vijana wa umoja huo kuadhimisha miaka 52 ya Mapinduzi.
Alimshushia tuhuma nzito mstaafu huyo kuwa anashirikiana na wapinzania kukihujumu chama hicho kikongwe nchini, na kwamba asipofukuzwa umoja hup umoja huo utatumia njia zingine ambazo hakuziweka wazi.
Sadifa alionya kwamba Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar si mali wala miliki ya mtu kwani Wazanzibar wote wana haki ya kushiriki kuyaenzi kwa vitendo kutokana na historia yake.
Source:Jamii Forums
Udaku Special Blog
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kuchu funga bakuli lako
ReplyDeleteSi ungepewa basi uwaziri Na Magufuli Kama Kweli u mfayakazi