AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Na sasa issue hiyo inaenda mbali zaidi. Wema ametumia Instagram kuingia pia kwenye issue hiyo katika njia ambayo inaishia kuwa dongo kwa ex wake.
“Watu walikuwa wanasubiria na mimi nitaje jina langu la mnyama… Mi ni Mnyama Ndio na Jina Langu ni WEMA SEPETU…. Gnyt Y’all…. Langu mwenyewe hilo…. Ila Balozi Kasema…. hihihihihi,” aliandika Wema.
Bila shaka bado hujaiona diss! Acha tukusanue. Diss ipo kwenye mstari huu ‘Ila balozi kasema.’
Kivipi? Siku ya show ya Alikiba kwenye boxing day, hitmaker huyo alijinadi kuwa yeye ni balozi wa wanyama – akimaanisha ubalozi wake wa Wild Aid, taasisi inayopigia debe haki za wanyama.
Wengi waliistafiri kauli hiyo kama dongo kwa wote wenye majina ya wanyama!
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK