A.Y Afunguka Kuhusu Mpango Wake wa Ndoa, Asema Bado Yupo Sana...Kwanini..?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rapper mkongwe kwenye tasnia ya muziki nchini Tanzania, A.Y amefunguka na kusema kuwa bado hajapata msukumo wowote wa kuoa toka nafsini mwake.

Rapper huyo aliyasema hayo kwenye mahojiano yake na kituo kimoja cha Tv na kuongeza kuwa ndoa ni wito,ukimwita ataitika

“Ndoa ni wito kuna sauti huwa inakwambia kabisa huu ndio muda wako,sauti hiyo kila nikiiita nasikia mwangwi tu” alisema A.Y na kutania kuwa mpaka swahiba wake Mwana Fa aoe kwanza maana yeye ndio mkubwa
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. hizi ndiozile aina ya alizoziimba nay wa mitego jamii ya dimpoz

    ReplyDelete

Top Post Ad