Hanscana ampa Vidonge Q Chief, ni Baada ya Kusema Directors wa Video wa Bongo Hawana Lolote..Amtaka Aache tu Music Miaka 17 Hana Hata Baiskeli..

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Muongozaji wa video nchini Hanscana, amemjibu Q Chief kuhusu tuhuma alizowarushia directors wa video wa bongo kwamba hawana lolote na hawezi fanya nao kazi tena.

Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio Jumanne hii, Hanscana amesema Q Chief ana stress za maisha ndio maana amekuwa akiongea ovyo.

“Ye ana stress za maisha, haiwezekani ukafanya muziki zaidi ya miaka 17 halafu huna hata pikipiki wakati kuna watoto wamekuja tu juzi kirahisi rahisi alafu wana kila kitu,” alisema Hanscana.

“Kwa hiyo lazima upate mastress uanze kutapatapa, si unajua mfa maji, u can see ur self jamaa ana more than 17 yrs in the game alafu he got nothing, halafu kuna watoto tu wadogo wanafanya kitu, kwa hiyo unaweza ukafikiria, suala dogo kama hilo kitaalamu hizo ni stress za maisha,” aliongeza Hanscana.

Pia Hanscana amemtaka Q Chief akae pembeni na kuwaachia wasanii wachanga wafanye kazi kwa sasa, na yeye abaki kuwa mtazamaji.

“Ninachomshauri atuachie tu new generation tufanye vitu vyetu , tuna mwaka mmoja ndani ya game tuna drive, tunaishi vizuri, atuache tu vijana aangalie tu game awe anatuangalia Youtube,” alisema Hanscana.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad