AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Makamba Jnr anasema CCM ilipoteza imani na kutoaminiwa na wananchi kwa kiasi kikubwa sana kiasi cha wao kuona dalili la wazi la kuanguka kwa CCM.Anasema uchaguzi wa 2015 ulikuwa ni moja ya chaguzi ngumu kuwahi kutokea na wana imani kwa utendaji huu wa JPM wananchi watarudisha imani kwa CCM na Serikali yake na kuepuka kuwaadhibu ktk sanduku la kura mwaka 2020.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mm/mmmmmmmh mmmmh
ReplyDeletena uhakika ata angekua membe kapita akakuteua ww huwezi sema tofauti ivo uko sahihi
ReplyDeleteWameiba tu ndo akapita
ReplyDeleteHakuna wizi ndugu,Mungu akisema ndio hata ukiiba utaumbuka tu,Hapo ni Mungu mwenyezi ndio alipinduapindua na kumuwezesha kushinda kwa kuona bora JPM kuliko ENL.
DeleteTulisema Kikwete kalamba turufu kama si Magufuli niukweli usiopingika 200% CCM Kikwete kingemfia mikononi mwake hata Lowassa usingeweza kushinda uchaguzi huu kupitia CCM ndo ingekuwa kabisa bye bye kwani kila kukicha wapinzani walijua na kuota kuwa Lowassa hana mpinzani CCM lazima atagombea uraisi na ndio ilikuwa turufu yao kubwa kuimaliza CCM na ikichangiwa na watanzania walishaichoka
ReplyDeleteUMESEMA KWELI JANUARY.
ReplyDeleteMwongo. Waliiba kura. Zanzibar inamshinda
ReplyDeleteYES!
ReplyDelete