Kasi ya Magufuli Yainufahisha Hospital ya Muhimbili Kwa Mapato Kuongezeka...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Hospitali ya Taifa ya rufaa Muhimbili, imesema baada ya kuongeza kasi ya usimamizi wa wafanyakazi katika hospitali hiyo, imeongeza mapato na yamefikia Bilioni 4.3 kwa mwezi Januari pekee

Ongezeko hilo limetokana kutengenezwa kwa mashine za MRI na CT-SCAN, mashine ya CT-SCAN imeshapima wagonjwa 1,000 na MRI imepima wagonjwa 2,200
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad