AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Inadaiwa baada ya Thea kumwagana na Michael Sangu, alijiweka kwa mwanaume mwenye nazo na ndiye aliyempa jeuri ya kumiliki gari hilo aina ya Toyota Passo.
“Thea sasa mambo safi, anatembelea makalio baada ya kuhongwa gari na yule bwana wake wa sasa,” kilidai chanzo hicho.
Baada ya kunyaka ‘ubuyu’ huo, Thea alitafutwa, alipopatikana alisema: “Hili gari sijahongwa na katika maisha yangu sitegemei kuhongwa na mtu yeyote, nimenunua kwa hela yangu ninayopata kwenye muvi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kila mtu ana malengo yake,Kama kununua gari angeweza kununua siku nyingi,lakini tu Thea alikuwa anafanya vitu vingine, kamaliza sasa kanunua gari.Na ikumbukwe hawa wametoka kupewa mkwanja na CCM.
ReplyDelete