AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hatua hiyo ilikuja baada Mwenegoha kubaini kuwa walimu wa shule hiyo wamekuwa na tabia ya kuwaagiza kuku, wazazi wanaowaandikisha wanafunzi wa darasa la kwanza.
Mwenegoha alichukua maamuzi hayo, baada ya kuthibitisha kuwa mwalimu huyo mkuu, ameshindwa kudhiti tabia hiyo ya walimu walio chini yake.
Akizungumzia kusimamishwa kwake, Mwalimu Lusotola alisema amefurahi na kufananisha adhabu hiyo na kumpiga teke chura.
Tayari mwalimu huyo amekamatwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupamaba na Rushwa (Takukuru), leo anatarajia kwenda kuandikisha maelezo, huku akisisitiza kuwa hajaomba kitu chochote kwa wazazi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ni aibu sana kwakweli. Sasa admn naomba unipe maelekezo jinsi ya kusajiri blog kwenye vidokezo.com app.kama ulivyofanya wewe
ReplyDeleteMagufuli kazi unayo kuku kuku kuku wengine wanatoka jela kwa kuiba mabilion eti kwenda kufagia hospitali
ReplyDeleteFyuu Magufuli Na CCM yako
Tutaiba sana kwani tunajua mwishoni tutafagia mahospitali
WW jidanganye Tu, utaacha familia yko ikiteseka na kukulilia hizi zama nyingine kama unajijua Ni jipu jiandae soon utakutoka usaha
Delete