Nay wa Mitego Akanusha Wimbo Wake Kufungiwa na Basata...Adai Hata Kama Wakiufungia Wamechelewa Kwani Mpaka Panya Wanaujua Tayari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nay wa Mitego Amafunguka Haya Katika Ukurasa wake wa Instagram:
"Pale unaposikia eti kuna wasiopenda kuambiwa Ukweli wamezusha Eti Wimbo wa ShikaAdabuYako Basata wamefungia. 
Guys Wimbo haujafungiwa na Basata awajafungia Wimbo ila wale wenye Team zao kwenye mitandao wamechanwa kwenye #ShikaAdabuYako ndio wameufungia kwenye Masikio Yao sababu ya hawataki kusikia fact wame publish habari za kufungiwa. Ata ingekua kweli umefungiwa wamechelewa sanaaa coz mpaka Panya wanajua tayari #TrueBoy keshakiwashaaaaa" 
Nay wa Mitego
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad