AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Afande Selle alisema hayo kupitia kipindi cha Planet bongo cha East Africa Radio na kusisitiza kuwa siku atakayo kufa anaomba achomwe moto kwani yeye anaamini katika moto na si kuzikwa kawaida.
Afande Sele alidai kuwa amechoka kuwa binadamu bali anataka kuwa Malaika ndio maana anahitaji kuchomwa moto ili siku ya ufufuo arudi kama Malaika na si binadamu, imani yake inamtuma kuwa akizikwa kwenye udongo siku ya ufufuo atarudi kuwa binadamu tena jambo ambalo yeye hataki kusilisikia tena.
Kufuatia imani hiyo Afande Sele amesema mpaka sasa ameacha wosia kuwa siku atakayokufa achomwe moto na si kuzikwa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
BANGI NYINGI SANA
ReplyDeletehuyu kasha changanyikiwa
ReplyDeleteMungu atamsaidia aendapo si pazuri
ReplyDeleteIla malaika wako wa aina nyingi mwanzoni hata shetani alikuwa malaika hivyo sishangai
ReplyDeleteGanja bhana
ReplyDelete