Picha: Ray Baada ya Kudai Siri ya weupe wake ni Kunywa Maji, Watu Mbali Mbali Waanza Kampeni...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya Ray Kigosi kuweka wazi kuwa anakunywa sana maji ndio maana anakuwa mweupe, Godzilla pamoja na mashabiki mbalimbali katika mitandao ya kijamii wamenza kufanya zoezi hilo kwa kuwahamasisha watu kunywa maji ili na wao wapate upako huo.

Hivi karibuni Ray Kigosi kupitia kipindi cha Enewz cha East Africa Television alidai kuwa weupe wake una sababishwa na kunywa maji ya kutosha pamoja na kufanya mazoezi.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. ray kijuso, ni sindano anapakuliwa na abass tarimba

    ReplyDelete
  2. Ametengeneza ngozi! Akae juani tuone kama hatafurunda.

    ReplyDelete

Top Post Ad