Q Chillah Aamua Kwenda Kusaka Soko la Muziki Nigeria..Atafanya Kazi na Nani?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa bongo fleva ,Q Chilla ameweka wazi kuwa siku za hivi karibuni atafunga safari kwenda Nigeria kufanya kazi zake za kimuziki ili kupanua soko.

Hata hivyo Msanii huyo amesema hajajua bado atafanya kazi na msanii gani wa Nigeria ila amejipanga kukabiliana na yeyote atayejitokeza kwani anaamini ni uwoga kupanga kufanya kazi na msanii fulani tuu.

“kuna watuwengi ambao tunawasiliana nao kwa sasa,lakini nimeona niwafate kule kule Nigeria ilikuwa niende tarehe 20 lakini tumeongeza wiki mbili ili kuimarisha bendi kwanza ambayo nimeizindua..nimejiandaa kolabo na yeyote yule,kwa sababu ukisema fulani ina maana una hofu na watu fulani” alifunguka Q Chillah.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad