AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Staa wa filamu Vicent Kigosi, maarufu kama Ray ameeleza mustakabali wa filamu yake mpya inayokwenda kwa jina Tajiri Mfupi aliyomshirikisha ndani yake staa wa filamu Batuli ambaye anamtuhumu kwa kutokumlipa chake kwa ushiriki wake ndani ya kazi hiyo.
Ray amesema kuwa, filamu hiyo itatoka kama ilivyopangwa licha ya tuhuma za Batuli, akijitetea kuwa, hawezi kushindwa kumlipa mtu mmoja na kufanikisha kuikamilisha kazi hiyo waliyoifanya miaka 3 iliyopita tayari kwa kuiingiza sokoni.
Ray pia akatolea ufafanuzi hisia zilizoanza kujengeka kuwa, wametengeneza ugomvi huo na Batuli ili kuipatia kiki kazi yao, kitu ambacho amekipinga kwa nguvu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Umemlipa au hukumlipa jibu swali
ReplyDeleteyes mkongo unazidi kuwaka kwa mkorogo. ukiuza muvi yako kwa sasa pesa usinunue mkorogo weka kidogo kidogo uende kigogo ukaoe mgogo!.... haya ney wa mitego ongezea ubeti mwingine huu kwenye ile singo yetu then tuitoe.
ReplyDeleteMkorogo on point
ReplyDeleteSasa noma kadume kataweka lipstick haka ..
ReplyDeleteMkorogo Kama waziri mkuu Na mkewe
ReplyDeleteduh mkorogo kweli umekolea angalia hata mikono yakeee
ReplyDelete