Utani Wageuka Kuwa Deal....Kampuni za Maji zajipanga Kuwekeza kwa Ray Kigosi Baada ya Kusema Amekuwa Mweupe Kwasababu ya Kunywa Maji Mengi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Staa wa filamu Vicent Kigosi ‘Ray’ baada ya kudai kuwa weupe wake unatokana na kunywa maji mengi na kufanya mazoezi na siyo mkorogo, makampuni manne yanayojishughulisha na masuala ya maji yamemtaka awe balozi wao.
Ray

Akizungumza na gazeti la Mtanzania jana, Ray alisema kubadilika kwake kwa ngozi kumeleta gumzo kubwa kwake na pia kumempatia neema kutokana na makampuni hayo kutaka awe balozi wao.

“Kunywa kwangu maji kwa wingi na kushiriki mazoezi ipasavyo ndiyo kumepekekea ngozi yangu kuwa nyororo na makampuni yaliyojitokeza kwa sasa nimewaambia wasubiri kwanza hadi nitakapokuwa tayari kuwa balozi wao,’’ alieleza Ray.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

7 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. TUNATAKA watalam walizungumzie hilo

    ReplyDelete
  2. Ulikua na rangi nzuri ya kiume umeenda hewani umbo la kiume misuli minene wauuu sasa umejibadilisha rangi.nyusi kunyoa.wanja mwingi.macho maragevu yaani ungekua kakaangu

    ReplyDelete
  3. hakuna lolote
    kunywa maji hakuitaji matangazo labda kampuni za vipodozi zimfanye awe balozi wao
    maji yana nyweka pasipo matangazo ni uhai wa binadamu lazima uyanywe tuu
    ray tafuta kampuni ya vipodozi na uwe balozi wao

    ReplyDelete
  4. Jamani kumbe weusi ni rangi mbaya?Tueleweshane

    ReplyDelete
  5. Jamani hizi ziara za Kikwete na Mkapa pale Ikulu mbona haziishi????? Juzi juzi hapa wameonekana tena pale kwa kile kinachoitwa mazungumzo na Rais JPM. Hayo ni mazungumzo gani ya kila siku????? Tena kutoka kwa Marais wastaafuu???? Mbona wakati wao hatukuwa tunaona Marais waliowatangulia wakikesha kwenda pale Ikulu kwa ajili ya mazungumzo na wao?????? Kuna biashara gani inayoendelea pale????? Jamani mwacheni JPM afanye kazi zake za kutumbua hayo majipu ambayo yameleteleza umaskini uliokithiri miongoni mwa Watanzania dah!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  6. Mbona hatumuoni Rais mstaafu Mwinyi akijipeleka peleka pale Ikulu???? Kuna biashara gani katika ya Kikwete na Mkapa na JPM?????????? Tunataka kujua kwa kweli........

    ReplyDelete
  7. Ni weupe gani aliokuwa nao huyo mgunyaa????? Wabongo kwa kutafuta kiki za kijinga duh kazi ipo.

    ReplyDelete

Top Post Ad