AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Polisi walivamia Hoteli aliyofikia mbunge huyo na kumkamata majira ya saa 7 usiku na kisha kumpeleka kituo cha kati cha Jijini Mwanza akiwa ameambatana na Mhe. Halima Mdee (Mb) , Joyce Sokombe (Mb) pamoja na Wakili John Malya.
Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza Justus Kamugisha amesema hati ya kukamatwa kwake imetoka ofisi ya Bunge na kwamba Mbunge huyo anashikiliwa kama mtuhumiwa ambaye anatakiwa kusafirishwa kwenda Dar es Salaam.
Wabunge hawa pamoja na uongozi wa juu wa CHADEMA Wako jijini Mwanza kwa ajili ya kikao cha Baraza Kuu la chama hicho kinachofanyika leo katika Hotel ya Gold Crest
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kwani anatuhumiwa kwa kosa gani?
ReplyDeleteHalafu lini siasa za Tanzania zitaacha kuwa za kibabe?
naona CCM kwenye hii nchi inachotaka ni upinzania kufa basi.
kaaa sisiem muna kazi !!!!
ReplyDeleteMWACHIENI HARAKA SANA ESTER LASIVYO MUNGU ATAWAONYESHA MAKUUA MANA MUMEKUA WANYAMAA WAKUDHARIRISHA WATU
ReplyDelete