AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanzo mahusiano ya Idris Sultani na Madam Wema Sepetu, yalionekana kuvunjika lakini wenyewe wameonyesha kuwa bado wapo pamoja lakini wameamua kuyaficha kwa sasa.
Akizungumza na kipindi cha Friday Night Live (FNL), kinachoruka kupitia EATV, Idris alisema walifanya haraka kutangaza mimba ya Wema.
“Mwanzo tulifanya sana makosa kutangaza mimba ya Wema, culture yetu hairuhusu. Tulitakiwa kuweka wazi kama ingekuwa mimba imefikia miezi minne hivi na kuendelea,” alikiri.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Dogo tatizo utoto unakusumbua na kaulimbukeni,ukikuwa utaacha.
ReplyDeleteWeye humuamini mwenyezi mungu ukitangaza usitangaze ikiwa umeandikiwa kun fayakun inakuwa zari Ali weka na scan na anafanyiwa na kila aliye mchukiya alia pizza mpaka aliye labour lakini mwenyezi mungu hajataja itokeye si uyo Yuko Europe tour
ReplyDeleteNyamazaga basi mbona kila Siku waongea wewe...MFA maji watapatapa
ReplyDeleteILIKUWA KIKI
ReplyDeleteAlikuwa hana mimba huyo basi anataka kiki tu asikose kwenye gazeti.
ReplyDeleteatake kiki za nn kwa mfano? mahayawani nyie.
ReplyDelete