Kama Wewe ni Msichana na Unamzidi Ruby Kuimba Njoo WASAFI Records - Babu Tale

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Meneja wa lebel ya WCB Babu Tale ametoa fursa kwa wasanii wa kike wenye vipaji kuonyesha vipaji vyao, na hatimaye kuweza kupata fursa ya kuwa chini ya uongozi wao wa WCB.

Babu Tale ametoa fursa hiyo alipokuwa akiongea ndani ya Planet Bongo ya East Africa Radio, alipoenda kumtambulisha msanii mpya amabye atakuwa chini ya uongozi huo Raymond TipTop, na kusema kuwa wasani wa kike ni wachche hivyo wana fursa kubwa ya kufanya vizuri iwapo watajituma.

Tuna Plan kuwapata wasanii wa kike lakini wenye vipaji vya ukweli, asikwambie mtu industry yetu ina wanawake wachache, tungepata wananwake wanne hata watano', alisema Babu Tale
Pia babu Tale alisema anatamani sana msanii Ruby angekuwa kwenye management yake, kwani ana uwezo mkubwa lakini kwa bahati mbaya ytayari yuko chini ya management nyingine ya THT.
Kwangu mimi ingekuwa Ruby hayuko chini ya THT, au hana management tungemchukua, lakini nasema hivi, kama anakuja mwanamke, awe na level ya kufanana na Ruby au kumshinda Ruby", alisema Babu Tale

Pamoja na hayo nae Diamond Platnums amesema ameweka wazi vigezo ambavyo msanii huyo wa kike avifikie ili aweze kuwa chini ya uongozi huo, pamoja na kujituma tofauti na walivyozoea kuwa hawawezi.

Aweze kuandika mashairi, aandike nyimbo zake mwenyewe unajua kuna kitu kimoja, wanawake washajiwekea kuwa wao hawawezi, sio kweli hawataki kufocus na kujaribu", alisema Diamond.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad