AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dudu Baya ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye stori 3 za Planet Bongo inayorushwa na East Africa Radio, na kusema kuwa ana biashara na kampuni, na hivi karibuni anafikiria kuleta wasanii wakubwa kutoka nje.
"Nikifungua bar ni mambas, kwa sasa nina kampuni ya Mambas Entertainment, nimeanza kazi muda mrefu naweza kuongea na msanii tukaenda Musoma tunapiga show, na may dream nitakuwa nawaleta hata wasanii kutoka nje, lakini sasa hivi toka 2013 niko kanda ya ziwa, na ndio maana hata show zangu sitegemei nipigiwe show na promota", alisema Dudu Baya.
Pamoja na hayo Dudu Baya amesema shughuli za ujenzi na biashara ya mbao, ndio inayomfanya asisikike kwenye muziki kwa sasa.
"Mi nimesomea archteck uchoraji wa majengo na ujenzi, natoa mbao Kasulu, ukiona sisikiki kwenye muziki ujue hiyo ndio business im doing", alisema Dudu Baya.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK