Nyumba ya Mzee Katwila Yamuua Bibi Yake Mwanamuziki Q Chief

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanamuziki wa Bongo fleva, Q Chief, yupo kwenye majonzi baada ya kumpoteza Bibi yake aliye fariki kwa mstuko wa moyo baada ya misuko suko ya madeni na kutolewa kwenye nyumba baba mzazi wa msanii huyo Mzee Shaaban Katwila.

E-newz imekutana na mmiliki wa Q S Entertainment inayomsimamia Q chief ijumaa iliyopita katika onesho la band ya QS Band pale Escape One. QS J. Mhonda na kutufahamisha makubwa yaliyomkuta Bibi yake Q chief upande wa mama aliposikia taarifa ya nyumba kuchukuliwa na mtu anayedai pesa alizomkopesha mzee Shaaban Katwila. Taarifa iliyopelekea bibi kupata presha na kuiaga dunia na mpaka kufikia siku ya Ijumaa Bibi yake na Q Chief akapumzishwa katika nyumba yake ya milele.

Mbali na yote hayo kutokea Q Chief alionesha ukakamavu na kupanda kwenye stage na kuendelea kutumbuiza siku ya ijumaa pale ESCAPE ONE.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad