AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Maofisa kadhaa wa juu wa CUF walidai kutofahamu lolote kuhusu kinachoendelea nchini India ambapo Maalim alikwenda kwa matibabu wiki iliyopita baada ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kumuidhinishia kiasi cha Sh. Milioni 350 licha ya madai ya CUF ya kutoitambua serikali ya sasa ya Zanzibar.
Imegundulika kuwa Maalim Seif amelazwa katika hospitali ya Appolo Hyderabad na tayari ameishafanyiwa upasuaji mkubwa wa (uti) mgongo.
Maalim ameshauriwa kupumzika hadi walau baada ya Machi 10 mwaka huu lakini amekataa ushauri huu na anataka kurudi nyumbani mapema zaidi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kapewa ni halali yake apone haraka ndio kubwa tulo omba
ReplyDeleteSalim Mohamed,ni ushabiki na muhemko AU?
ReplyDeleteKasumba za ki-CCM zikoje?kwa utandawazi wa sasa kama ni mfatiliaji wa mambo utapata maana kila kitu kiko wazi,
hivyo nakushauri ufuatilie.