AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
The Bongo superstar took his family including his mum Sanura Kassim, daughter Tiffah and baby mama Zari along with him for his tour. Zari has been sharing some sights and sounds from their Europe tour. But perhaps the most touching, heartwarming and even envy-inducing were these adorable photos of her family that were taken in Sweden.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Wema hapo donge linamuuma anatamani hapo angekuwa yeye he he. Karibuni Sweden Diamond na Zari
ReplyDeleteUnawashwa mpaka umtaje mtoto wa watu, kakwambia ???? Watanzania bwana
DeleteAliwahi kupelekwa Songea na kuchezeshwa shoo stejini. Na kwenye boti la kigoma. Leka tutigite.. The so called mizes tu bi. Yuko ununio kwenye nyumba ya kupanga. Kwi kwi kwi
ReplyDeletekumbe Wema alipelekwa Songea na boti he he mwenzio Zari kapandishwa pipa au ndege mpaka ulaya very big different he he chezea Zari wewe
ReplyDeleteacha unafiki, kwenda sweden kwa bibi masumbuko mnaona dili. Wema analipwa kwenye show. bibi anafata uboo tuu. nani mjanja
ReplyDeleteKama huyo michirizi (mama ake Idriss wa kufikia ) analipwa kwenye shoo mbona alikuwa anaiba umeme na maji ? Na makalio yake yaliyosambaa kaa uji wa magereza.
DeleteZari lazima aspoiliwe kamzaa Tiffah. Wema kamzaa nani?
ReplyDeletehapo mkumbuke kuwa ela inayotumika ni ya bibikizee siyo ya domo, manake mmeshaanza kumpa ujiko mtanzania mwenzenu,.. alishawaambia she can u cant!!!!! na ameweza kumuoa!atawe ukimchekea atakuoa.!
ReplyDeleteWema akishindana na Zari Wema ataumia bure, maana sasa hivi mambo hayamuendei vizuri Wema, kaishia kwenye kiki tu, mara alisema atazaa na Luis yule kutoka Namibia, mara ameshika mimba ya Idris kumbe ni mimba fake, mara ile nyumba aliyofukuzwa ilikuwa yake kainunua kumbe ni nyumba fake du wema hayo mambo unayasema kwenye social media huoni hata aibu ndiyo maana hata mama yako anafikiri kuwa umechanganyikiwa, wewe ni msichana mzuri ungepata mtu wa kukuoa lakini kwa tabia yako ya kubadirisha mabwana mbele ya jamii na mbele ya social media sishangai wanaume wanakuogopa, msiseme kuwa nampendelea zari kuwa na yeye anafanya hivyo, siyo hivyo Zari alishawahi kuolewa alipoachana na mume Wake ndiyo akaanza kuishi maisha yake mwenyewe na ni kawaida tu mpaka alipompata Diamond akaamua kutulia na Diamond
ReplyDeleteWIVU UNAWASUMBUA KWELI KWANI MWANAMKE HAWEZI KUMTUNZA MWANAUME ACHA USHAMBA NA MFUMO DUME HATUUTAKI. ZARINA DIAMOND MKO BOMBA SANA WAACHENI WASEME USIKU WANALALA.
ReplyDelete