AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Z Anto amesema kuwa watu wengi wamewahi kufanya hivyo akiwamo Diamond na msanii mwingine wa Sharo Baro ambaye anamjua kwa sura tu.Z Anto ameweka wazi na kusema kuwa kuna mtu huko Mwanza aliwahi kujifanya yeye ili apige show na kuchukua hela ya watu kisha kutotokea kitu kilimletea matatizo yeye.
“Miongoni wa watu ambao nilikuwa na majina yao ni msanii mmoja alikuwa anatokea kampuni ya wa Sharo Baro sikumfahamu ni nani ila nimeshawai kumwona,mtu wa pili Diamond,nasikia jamaa ameshaburuza sana watoto wa kike kupitia jina langu ila respect kwake” alifunguka Z Anto.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Uongo tuu unatafuta kiki kupitia Diamond
ReplyDeleteHello uliyocomment 2,2016 @11:54 kwa kutojuwa kila kitu ni kubisha tu z anto hatafuti kiki
ReplyDelete(PUBLISHED ON 15APRIL2015 DIAMOND AKIRI KUWAHI KUJIFANYA Z ANTO)
KATAZAME HIO
Hello uliyocomment 2,2016 @11:54 kwa kutojuwa kila kitu ni kubisha tu z anto hatafuti kiki
ReplyDelete(PUBLISHED ON 15APRIL2015 DIAMOND AKIRI KUWAHI KUJIFANYA Z ANTO)
KATAZAME HIO