AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Habari kutoka visiwani Zanzibar zinaeleza kwamba, nyumba kadhaa ikiwemo ya Hamdani Omar Makame ambaye ni Kamishna wa Polisi Viswani Zanzibar zimelipuliwa kwa mabomu.
Habari hizo zinaeleza kwamba, Jeshi la Polisi linaendesha kamata kamata ya watu waliohusika kwenye tukio hilo ambapo mpaka sasa watu 31 wametiwa mbaroni.
Tukio hilo limezidisha hali ya wasiwasi visiwani humo ambapo ni siku 5 tu zimesalia kabla ya uchaguzi wa marudio kufanyika
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mimi nlitaka na yeye mwenyewe pia limpate ilo bomu.
ReplyDeletenilipopata taarifa hizi tu nlijiuliza kwann na yeye hajaripuliwa mana wanawatesa wananchi tu
ReplyDelete