AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtangazaji Gardner G.Habash amerejeaCloudsFM toka alipoacha kuifanyia kazi December 2010, sasa amerudi na kupewa mkataba mpya kuifanya show ileile ya JAHAZI kuanzia saa kumi mpaka moja jioni CloudsFM na ataanza kusikika kwa mara ya kwanza leo April 11 2016.
April 3 2016 ndio ilikua siku ya mkataba wake mpya wa kurejea CloudsFM na April 9 2016Gardner alifurahia gari lake jipya aina ya Discovery kama inavyoonekana kwenye hii video hapa chini.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK