Masoud Kipanya Arejea Clouds FM Ataanza Kusikia Jumatano hii

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mtangazaji Masoud Kipanya Jumatano hii April 27 2016 atasikika tena kama mfanya kazi wa CloudsFM atasikika kwa mara nyingine tena Masoud ambaye alipata umaarufu sana kupitia vipindi mbalimbali vya CloudsFM toka kitambo hicho.

CMG (Clouds Media Group) wamethibitisha hilo kupitia page ya Instagram kwamba Mtangazaji Masoud Kipanya anarejea kufanya kazi na atasikika kwenye show ileile ya POWER BREAKFAST akiungana na Barbara Hassan na Fredwaa ikiwa ni baada ya Gerald Hando na PJ kumaliza mkataba wao na CMG
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad