AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tazama hii video na wale waliokua wanamwandama wanyamaze wamuache DC wa watu afanye kazi.
Richard Kasesela ukitaka watu wasikufuate fuate jaribu kuachana nao binafsi nimekuelewa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
mtu anafanya kazi kwa kujituma mnasema anajipendekeza
ReplyDeletewatanzania bhana Mungu awasaidie tuu
endeleeni kuka instagram msubiri misaada toka ulaya
safi sana kasesela Mungu akubariki
akina mange kimambi hao kazi kulilia misaada ya wazungu fyuuu
Deletekisaa anaishi marekani shenziii na ukae uko uko shetani wew
Ndio tatizo letu sisi watu weusi kwanza si watu wa kujituma. Na mtu akionyesha kujituma midomo itachongolewa kama baba ufudu. Ndio maana maendeleo hatuna. Alafu kutwa kupiga kerere tunataka hela za misaaada wanatuonea tu kwa sababu hizi na zile yaani tuko stupid people mpka michosho. Hao wanaotoa misaada si wanajituma wanafanya kazi. Ndio maana wacha watudhalau na kutuita watu wa dunia ya tatu kwa kuwa ni wajinga sijui lini tutaamka loooh!!!! Bara jeusi hili mpaka karne hii
ReplyDelete