Rais Magufuli: Ningejua Kama Urais Ndio Hivi, Nisingegombea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wakati Muheshimiwa JPM akiwa mapumzikoni kule Chato aliwasiliana na Kardinal Pengo kwa njia ya simu, muheshimiwa JPM inaonekana alifunguka mambo mengi sana ambayo Pengo ameyaminya, ila kubwa alilomueleza ni kuwa kama angejua kazi ya Urais ilivyo ngumu hivi, wala asingethubutu kugombea.

Kardinali Pengo aliishia kumtuliza kwa kumwambia kuwa ni afadhali mtu mmoja afe lakini taifa lisiteketee.

Swali ni, kuna nini kinaendelea nyuma ya pazia huko Magogoni??
Nini maana ya maneno "ni afadhali mtu mmoja afe kuliko taifa kuteketea"?
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Dah!
    Naamini mpaka umefikia kutamka hivyo basi kweli ni ngumu.
    KAZA BUTI KIPENZI CHETU JPJM,TUNAKUOMBEA.

    ReplyDelete

Top Post Ad