Diva Ajibu Tuhuma za Jokate na Lulu Kuwatukana Instagram Kupitia Akaunti Feki (Video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kuna wakati Jokate na Lulu waliwahi kumshutumu Diva kuwa amekuwa akifungua akaunti zingine za Instagram na kuwatukana.

Diva amezungumza na Bongo5 kujibu tuhuma hizo na kusema mambo makubwa ikiwa ni pamoja na kumuita Jokate ‘feki.’ Amesema ugomvi wao umetokana na Alikiba ambapo Jokate alikuwa akihisi Diva anatembea na mpenzi wako huyo. Anadai yote hayo ni kutokana na wivu alionao Jokate kwa Alikiba.

Anadai marafiki zake na Jokate walikuwa wakimshambulia kwenye Instagram wakimshutumu kuwa anatembea na Alikiba kitu anachosema si kweli na kwamba akitaka kutembea na muimbaji huyo wa ‘Nagharamia’ ni dakika moja tu lakini hawezi kufanya hivyo.

Pia amezungumza kuhusu Lulu kumwandikia tweet kuwa amekuwa akimtukana hivyo hivyo kwa akaunti feki za Instagram.

Mtazame zaidi hapo:

Chanzo:Bongo5
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad