AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Diva amezungumza na Bongo5 kujibu tuhuma hizo na kusema mambo makubwa ikiwa ni pamoja na kumuita Jokate ‘feki.’ Amesema ugomvi wao umetokana na Alikiba ambapo Jokate alikuwa akihisi Diva anatembea na mpenzi wako huyo. Anadai yote hayo ni kutokana na wivu alionao Jokate kwa Alikiba.
Anadai marafiki zake na Jokate walikuwa wakimshambulia kwenye Instagram wakimshutumu kuwa anatembea na Alikiba kitu anachosema si kweli na kwamba akitaka kutembea na muimbaji huyo wa ‘Nagharamia’ ni dakika moja tu lakini hawezi kufanya hivyo.
Pia amezungumza kuhusu Lulu kumwandikia tweet kuwa amekuwa akimtukana hivyo hivyo kwa akaunti feki za Instagram.
Mtazame zaidi hapo:
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK