AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Pia Coastal Union imepigwa faini ya sh. 2,000,000 (milioni mbili) kwa kuzingatia Kanuni ya 42(26) ya Ligi Kuu kutokana na vitendo vya vurugu za washabiki wake wakati wa mechi hiyo. Pia TFF haitasita kufungiwa uwanja huo iwapo vitendo hivyo vya vurugu za washabiki havitakoma.
Mwamuzi wa mchezo huo Abdallah Kambuzi amefungiwa mwaka mmoja wakati Mwamuzi Msaidizi namba mbili Charles Simon ameondolewa kwenye ratiba ya waamuzi. Adhabu hizo zimetolewa kwa kuzingatia Kanuni ya 38(1) ya Ligi Kuu.
Mchezaji Adeyum Ahmed wa Coastal Union anapelekwa Kamati ya Nidhamu ya TFF kwa ajili ya hatua zaidi kutokana na kitendo chake cha kumpiga kichwa Mwamuzi wa Akiba baada ya kutolewa nje. Hata hivyo, Ahmed hakufanikiwa kutimiza azma hiyo baada ya Mwamuzi huyo kumkwepa.
Yanga imepigwa faini ya sh. 500,000 (laki tano) kwa mujibu wa Kanuni ya 14(13) ya Ligi Kuu kutokana na kutoingia vyumbani kwenye mechi hiyo ya Kombe la Shirikisho.
Vilevile malalamiko ya Coastal Union kutaka mechi hiyo irudiwe yametupwa baada ya Kamati ya Mashindano kubaini kuwa hayana msingi wowote.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Bora mweeh,Sasa coastal ya sasa ni ya kutuwakilisha kimataifa kweli?Bora hata wangeshinda MWADUI kama lengo ni kubadilisha na kwamba wasiwe au wasizoeleke walewale kila mwaka.Coastal union
ReplyDeletenidhamu sifuri,kuanzia wachezaji mpaka mashabiki wao,ushirikina na mbinu za wale waarabu wa...........ndio wanatumia na wenyewe kiasi wageni hawataki hata kuingia vyumbani wakiwa dimbani kwao.SAFI NDIO MJIFUNZE.
YANGA (wakimataifa) hoyeeeeeeeeee!!!!! wamchangani mtabaki kutoa kauli za kushindwa kila siku, TUMEBEBWA!
ReplyDeleteTUWAACHE WAKIMATAIFA WAKUTANE,COASTAL NA AZAM WAPI NA WAPI.
ReplyDeleteTFF ni yanga, sasa mlitegemea nini
ReplyDeleteNafasi zinaombwa,sasa si na wewe simba uombe.
Delete