AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hali hiyo ilizua taharuki ambapo waziri wa ofisi ya Rais, TAMISEMI Simbachawene aliinuka na kuomba kutoa taarifa. Katika kutoa kwake taarifa waziri alisema mshahara wa Rais haujadiliwi popote pale, ikiwa ni sharti ndani ya katiba ibara ya 43.
Mbunge Peneza katika kukataa taarifa hiyo alisema hoja yake ya msingi ni kutaka Rais aonyeshe kuongoza kwa mfano kwa kulipa kodi kama anavyosisitiza wananchi na wafanyabiashara kulipa kodi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hongera dada
ReplyDeleteSiasa za maji taka Angekuwa Lowasa nae angelipa kodi,,,,Unatafuta unaarufu waachie wakina mdee,,,hakuna jipya chini ya chadema,,,,
ReplyDeleteKoma wewe ndo mlikataa ra simu ya katiba ya warioba fyuuuuuu
DeleteCCM