AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Zitto Kabwe ameandika ujumbe kwenye ukurasa wake facebook, na kuonesha kushangazwa kwa wizara kutoweka wazi wafanyakazi hewa waliomo humo, huku akijitolea kubainisha wale wa kwenye wizara ya ujenzi.
“Watumishi hewa kwenye wizara mbona hatusikii? Wakuu wa mikoa wameagizwa kutambua watumishi hewa. Mawaziri hawakuagizwa. Ok ngoja nijitolee kutambua watumishi hewa wizara ya ujenzi kupitia ripoti za CAG 2010/2011 mpaka 2014/2015”, aliandika Zitto Kabwe.
Hivi karibuni mikoa yote nchini imetekeleza agizo la kuhakiki wafanyakazi hewa walioko kwenye halmashauri zao, huku mkoa wa Mwanza ukiongoza kwa kuwa na wafanyakazi hewa 334
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
WATAJE WATAJE!!!!
ReplyDeleteAnataka AIRTIME...NPENI SMATI PHONI AJISMATIDONISHE ..AU LAIVU KAVA..
Deletewe zito mbona hata jimboni kwako hatukuoni kazi kubwabwaja tu, ndo maana ulihama jimbo baada ya kuona mambo si mazuri usitafute kiki mbona mwanzo mlikuwepo lakini hatukuona kama mnalizungumzia hilo la watumishi hewa???? kama unawafahamu wataje
ReplyDeleteHuyu ndiyo yule WA Laivu kavarehi .na aokomoko katija Bunge. Hana jipya...TUMEXGOKA
ReplyDelete