Basi Jingine la Mwendo kasi Lapata ajali Eneo la Magomeni Usalama

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Basi jingine la mwendo kasi limepata ajali mabaya eneo la Magomeni Usalama. Ni baada ya gari dogo kukatisha kwenye barabara ya magari ya mwendo kasi.


Advertisement
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wabongo punguzeni ujeuri na ushamba sheria imewekwa kuwa hizo barabara ni za mabasi yaendayo kwa kasi iweje wewe na mkweche wako unaitumia barabara hiyo hiyo wakati unajua kuwa hairuhusiwi matokeo yake zinatokea ajali mbaya kama hizo kenge kweli nyinyi wabongo wengine mnatia hasira kudadeki zenu

    ReplyDelete
  2. Kwani hayo mabasi huku ulaya yanapita motorway only hata huko bongo muyawekee mwendo kasi? Huku ulaya yanapita taratibu tena njia hizo hizo za kawaida hivi nyie nani alokuambieni kwamba muyawekee mwendo kasi? Kwa barabara gani? Come on wa tz

    ReplyDelete

Top Post Ad