AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Basi jingine la mwendo kasi limepata ajali mabaya eneo la Magomeni Usalama. Ni baada ya gari dogo kukatisha kwenye barabara ya magari ya mwendo kasi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Wabongo punguzeni ujeuri na ushamba sheria imewekwa kuwa hizo barabara ni za mabasi yaendayo kwa kasi iweje wewe na mkweche wako unaitumia barabara hiyo hiyo wakati unajua kuwa hairuhusiwi matokeo yake zinatokea ajali mbaya kama hizo kenge kweli nyinyi wabongo wengine mnatia hasira kudadeki zenu
ReplyDeleteKwani hayo mabasi huku ulaya yanapita motorway only hata huko bongo muyawekee mwendo kasi? Huku ulaya yanapita taratibu tena njia hizo hizo za kawaida hivi nyie nani alokuambieni kwamba muyawekee mwendo kasi? Kwa barabara gani? Come on wa tz
ReplyDelete