Mapenzi ya Barakah Da Prince na Naj yazidi Kunoga (Picha)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Unakumbuka kipindi Kanye West na Kim Kardashian wameanzisha uhusiano wao? Watu waliwapa

Leo hii ni wanandoa, wana watoto wawili na penzi lao bado lipo imara. Ndivyo ilivyoonekana kwa Barakah Da Prince na Naj pia. Ni kwasababu katika kipindi kifupi tangu aanze kuvuma, Barakah alihusishwa kuwa na uhusiano na warembo A-List wakiwemo Linah, Meninah, Masogange na hadi Nisha.

Hivyo wengi walivyosikia kuwa muimbaji huyo wa ‘Siwezi’ kahamishia mapenzi kwa Naj, walijua napo anapita tu. Pia ni kutokana na mahusiano mengi ya mastaa hayadumu. Guess Barakah anaweza kutuprove wrong kwasababu kuna kila dalili kuwa penzi lao limezidi kushika mizizi zaidi na hawataki tena kulificha.

Swali ni je wataendelea kuwa pamoja kwa miaka mingi ijayo?
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. WAULIZE WENYEWE,KWETU HAKUNA JIBU MAANA NA SISI TUNAANGALIA NA KUSIKILIZIA TU.

    ReplyDelete

Top Post Ad