AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Leo hii ni wanandoa, wana watoto wawili na penzi lao bado lipo imara. Ndivyo ilivyoonekana kwa Barakah Da Prince na Naj pia. Ni kwasababu katika kipindi kifupi tangu aanze kuvuma, Barakah alihusishwa kuwa na uhusiano na warembo A-List wakiwemo Linah, Meninah, Masogange na hadi Nisha.
Hivyo wengi walivyosikia kuwa muimbaji huyo wa ‘Siwezi’ kahamishia mapenzi kwa Naj, walijua napo anapita tu. Pia ni kutokana na mahusiano mengi ya mastaa hayadumu. Guess Barakah anaweza kutuprove wrong kwasababu kuna kila dalili kuwa penzi lao limezidi kushika mizizi zaidi na hawataki tena kulificha.
Swali ni je wataendelea kuwa pamoja kwa miaka mingi ijayo?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
WAULIZE WENYEWE,KWETU HAKUNA JIBU MAANA NA SISI TUNAANGALIA NA KUSIKILIZIA TU.
ReplyDelete