Mchezaji wa Azam Farid Musa Aliyoko Spain Kwa Majaribio Awakosha wa Spain...Tazama Picha Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kinda wa Azam FC Farid Musa anaendelea kufanya vizuri kwenye majaribio nchini Hispania akiwa na Club Deportivo Tenerife inayoshiriki ligi daraja la kwanza ‘Segunda Division’.

Yusuf Bahkhesa ambaye ameambata na Farid Musa nchini humo ametoa updates za hapa na pale kuhusu yote yanayomuhusu Farid katika majaribio yake.

Kwa mujibu wa Yusuf Bahkhesa, Farid ameshafanyiwa vipimo vya afya baada ya kuwavutia viongozi wa benchi la ufundi la Tenerife linaloongonzwa na kocha mkuu wa timu hiyo  Jose Luis Mart.



----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad