AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hawa ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, na kusema kuwa wakati anakutana na mume wake huyo ambaye anadaiwa kumbadilisha mpaka dini na kuwa mkristo, alikuwa kwenye hali mbaya kwa ulevi.
“Mume wangu ndio kitu kikubwa sana kwa sababu kanibadilisha katika njia nyingi sana, kipindi ambacho nalewa kwa sababu nilikuwa sikumbuki hata kuoga watu wananisema kabisa huyu kawa teja, sikumbuki kufanya kitu chochote mi nakumbuka kulewa tu lakini Lordvick alijitajahidi kwa ahali yoyote kunifanya mimi nionekane katika hali ya usichana, na nilijisikia vizuri nikahisi yeye ndo ananifaa”, alisema Hawa.
Hawa ambaye kwa sasa bado anaendelea na shughuli za muziki na hivi karibuni alikiri kuhitaji uongozi wa kumsimamia kazi zake, amesema yupo na mume wake huyo kwa ajili ya upendo aliounyesha na kumjali, lakini si pesa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ludovico ndiye anaekufaaa au sio....hahahahahahaha kaaazi kwelikweli
ReplyDeleteHONGERA SANA KWA KUAMUA KUBADILIKA. MUNGU NI MWEMA HAMTUPI MTU NA ANASAMEHE!!!
ReplyDelete