AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Naafiki kuanzishwa kwa mahakama ya mafisadi, labda itasaidia kukamatwa na kushitakiwa mafisadi wenyewe. Maana wengine tunatolewa kafara na mtandao hauguswi, labda zitaachwa kukamuliwa nyama na kuziita majipu". Alisema Prof Tibaijuka.
My take:
Mtandao huu ni upi? Unalindwa na nani? Hivi Prof ni msafi au anajitetea?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
si uwataje sasa unabwabwaja tu bila kusema ni kina nani hao mafisadi
ReplyDeleteNdio kusema Mama Tiba unaufahamu huo mtandao, hebu amtajie JPM tuone kama hautatumbuliwa. Ingawa hata yeye alipata mgao wa 'kununulia mboga'
ReplyDeleteKweli
ReplyDeleteAkanana
Tajani basi huo mtaandao
ReplyDeleteSiyo kulalamika tu
Nishai yenu nyinyi viongozi magumashu mliishazoeya ubetwe hamguswi hata mkifanyanya nini mkiambiwa ukweli hampendi
ReplyDeleteCCM hiyo
ReplyDeleteMtatafutana wenyewe kwa wenyewe
Si urudi UN bi mkora
Tanzania ina wenyewe
CCM
Huyu mama wa visenti naye Nini?.kabapa mgawo wa bilioni lakini akaona ni visenti vya mboga, akajambe mbelee kuleee. Hawana hata huruma asilimia kubwa wenzao masikini mlo mmja wao mahela wanaona vijisenti Looo!!!
ReplyDelete