VIDEO: ‘Wanaosema Mimi Mwizi Wataisoma Namba’-Prof. Tibaijuka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mei 5 2016 Wizara ya Katiba na Sheria ilikuwa ikiwasilisha bungeni Taarifa ya kamati ya kudumu ya bunge kuhusu utekelezaji wa Wizara hiyo huku ikisoma na Waziri wake Harrison Mwakyembe, Baadae ilitolewa nafasi kwa wajumbe wakiwemo wabunge ili kuchangia maoni yao kuhusu bajeti hiyo.

Hapa nakukutanisha na Mbunge wa Muleba Kusini Profesa Anna Tibaijuka alipopata nafasi hiyo ya kuchangia ambapo kwanza anaonyesha kutopendezwa na kauli za mzungumzaji wa kwanza alipozungumzia kuhusu utendaji kazi wa Serikali ya awamu ya Tano.

Huyu hapa Profesa Tibaijuka kwenye dakika zake saba za kumsikiliza…

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad