Wabunge Wanawake wa Upinzani Ukawa Wametoka nje ya Bunge Asubuhi Hii..Kisa Hichi Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wabunge wanawake wa Upinzani(UKAWA) wametoka nje ya Bunge asubuhi hii, baada ya kauli kuwa wanapewa nafasi za Ubunge sababu wana mahusiano ya kimapenzi na viongozi wao

Kauli hiyo ilitolewa na Mbunge Goodluck Mlinga
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

13 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kweli nyinyi wabunge ni watu wa kucheza sanaa kila siku malumbano mnasahau kilichowapeleka huko Dodoma siku zinaenda hamfanyi cha maana kikubwa na cha maana kwenu ni hizo posho zenu zinaongezeka kila siku kenge kweli

    ReplyDelete
  2. Pumbavu zao,na waume zao majumbani wakiwashuku wanatembea na jirani wanasusia nyumba?

    ReplyDelete
  3. Toeni hoja sio kususa,unaposusa unamkomoa nani?Au kuna ukweli?
    Au ndio ile ya kusema mnakuja kutuonyesha jinsi mnavyoshindana mavazi tu?

    ReplyDelete
  4. NA POSHO MSICHUKUE SHWAINI NYIE.

    ReplyDelete
  5. Kwani uongo mwenye list ya wabunge wa viti maalumu iweke alafu tuichambue

    ReplyDelete
  6. Kwani uongo? Ukweli unauma.........

    ReplyDelete
  7. Acheni na posho ni jasho la wananchi ni bora zikanunulie
    madawati

    ReplyDelete
  8. Enhee, hapa sasa ndipo utakapojua kazi za 'wanaharakati' na haki za binadamu! Haya mambo ya siasa na kutetea wezi 'wasitumbuliwe' ndio kazi zao na wataitisha mkutano na waandishi wa habari fasta. Huwezi kuwasikia wakizungumzia kuhusu ubakwaji wa watoto ulivyo ongezeka, watoto kunyanyaswa na wazazi/walezi wao, wala wafanyakazi wanaonyanyaswa na waajiri........kifupi sielewi kazi zao ni zipi hasa

    ReplyDelete
  9. Ama kweli serikali ilifikiria sana na iliona mbali kuzuia bunge kuwa 'live', haya ndio walotaka tuyaone, tuwaone wakiwa wanagoma na kutoka. Hapo ni kisu kimegusa mfupa na jiwe limerushwa 'gizani' wote wanasema yalah...limewapata hilo........... hahahaha

    ReplyDelete
  10. Wengi waliochangia hapo juu ni wanaccm na hawana kisomo na wanaume.tanzsnia kiujumla haiwaheshimu wanawake sababu kimila inabidi mwanamke atii.wabunge wengi ccm ni mizigo.kuwa mwanamke si ugonjwa.ccm imezoea kuteua wanaeake wayii kama mgiro.mwenye rlimu lakini hana sauti kwa hivyo si tishio kwao.acheni kuwadhRau wanaeake nyinyi wanaume weak na msio na elimu za juu na hanzo akili sawa.wake zeni na mama zenu dhsifu na hawana uhuru nyinyi wote mliochangia hapo juu.ingawa mama zenu wamewazaa hamwaheshimu.wajinga nyinyi.

    ReplyDelete
    Replies
    1. yaani katika manyumbu wewe ni mmoja wapo, hivi ukifanyiwa ujinga kama huo si lazima na wewe ukomae naye huyo aliyekufanyizia? hivi suluhisho ni kukimbia au kukabana naye? mbona wakina mama wengi wanakabana na wanaume pindi wanapowafanyizia? kwa nini wakina mama nao wameamua kuwa marubani na wanaendesha vyombo mbalimbali? kwa nini wakina mama wanabonda mawe kama wanaume? na huko si ndiyo kuondoa mfumo dume? sasa wewe unaambiwa umeingizwa bungeni kwa ngono wewe unakimbilia kutoka nje, kwa nini msimkabe huyo aliyesema mpaka kieleweke badala yake mnakimbilia nje??? kodi zetu si za kuchezea

      Delete
  11. Huu Ni utovu WA nidhamu..Hili si Bunge la kujivunia pia linnatutia wasiwasi sisi ttulio wapa Kura hawa wasiojiheshimu tukawaita Waheshimiwa..heshima iko wapi..asiywhudhurua Na kushiriki mada ya maana posho hakuna...madudu yatuumize... Mfanyakazi hewa atuumize Na hawa Wabunge wanatuumiza laivu Na kodi zetu wanachukua Kama posho zao kiulaini...jamani hii si dhulumma kimacho macho au NAOTA..HIZI Ni zama za JPJM ....HAPA KAZI TU..TUTAKUSHUGHULIKIENI

    ReplyDelete
  12. Mama yake naye alikuwa baby
    fyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
    shoga hili

    ReplyDelete

Top Post Ad